Ezra 2:1

Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni

(Nehemia 7:4-73)

1 aBasi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
Copyright information for SwhNEN